Huduma ya Watoto inalenga kuwalea watoto katika misingi ya Neno la Mungu kupitia mafunzo, michezo na ibada rahisi.
Muda: Kila Jumapili 9:00AM
Shughuli:
Timu yetu ya walimu wanajitolea na wenye uzoefu katika kufundisha watoto Neno la Mungu.
Anaongoza timu ya walimu na kushughulikia mipango ya masomo.
Wanasaidia katika kufundisha na kushughulika na watoto.
Anafundisha nyimbo za watoto na kuongoza ibada.
Wanasaidia katika shughuli na kuhakikisha usalama wa watoto.
Jumapili: 9:00AM
Ibada Kamili ya Watoto
Tunachofanya:
Watoto wote wanakaribishwa kujifunza na kufurahi pamoja.