Bible & Mission Centre inajikita katika kuhudumia jamii kwa njia mbalimbali. Tunahudumia yatima, wazee, familia zinazohitaji msaada, na vijana wanaokabiliwa na changamoto. Huduma zetu zinajumuisha chakula, nguo, elimu, na msaada wa kifedha.
Huduma na msaada kwa yatima
Huduma kwa wazee na wagonjwa
Msaada kwa familia maskini
Mafunzo na msaada kwa vijana